Deuteronomy 9:1

Si Kwa Sababu Ya Haki Ya Waisraeli

(Kutoka 32:1-35)

1 aSikiliza, ee Israeli. Sasa mnakaribia kuvuka Yordani mwingie na kuwafukuza mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi pamoja na miji mikubwa yenye kuta zilizofika juu angani.
Copyright information for SwhKC